![]() |
| Rais Dkt. Samia akiwa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe |
Kuwarejesha wawekezaji wa nje na kufufua uwekezaji wa ndani
Ameimarisha sera ya mambo ya nje na uhusiano wa Tanzania na jumuiya ya kimataifa
Amerejesha uhuru wa habari, uhuru wa kujieleza, asasi zisizo za kiserikaki, maridhiano ya kisiasa na kufuta marufuku ya mikutano ya kisiasa
![]() |
| Ujenzi wa Bwawa la Nyerere unaendelea |
Ameongeza kasi ya utekelezaji wa miradi ya kimkakati, ikiwemo SGR, JNHPP, ununuzi wa ndege za ATCL na ujenzi wa daraja la Kigongo-Busisi
Amefufua mazungumzo na wawekezaji wa nje kwenye mradi wa LNG wa Shilingi trilioni 93 wa kuchakata gesi, ameanzisha mchakato wa kuimarisha haki jinai nchini
Amebadilisha mwelekeo wa nchi kutoka kwenye siasa za uhasama na kuhamia kwenye siasa za staha na maridhiano


0 Comments