Akizungumza baada ukaguzi wa kushtukiza katika Stendi ya Magufuli pamoja na ofisi za Shekilango, Suluo amesema, leo Januari 6,2024 wamelikamata gari la kampuni hiyo linalofanya safari zake za (Dar-Moshi-Arusha) likiwa limezidisha nauli kwa abiria, kila abiria alilipishwa nauli tofauti.
"Tukawataka wawarejeshee nauli zao, wakakubali, lakini muda mfupi tumetoka kwenye ofisi zao wakakataa kurejesha, eti mpaka Bosi wao aseme, sasa tumewataka wasimame kusafirisha abiria hadi pale watakapojirekebisha."
0 Comments