Nsue ambaye pia anamudu kucheza kama winga wa kulia amefunga magoli matano kwenye AFCON 2023 yakiwemo hat-trick dhidi ya Guinea Bissau na magoli mawili leo dhidi ya wenyeji, Ivory Coast.
Laurent Pokou ndio mchezaji pekee aliyewahi kufunga magoli mengi zaidi (7) kwenye hatua ya makundi ya michuano ya AFCON kumzidi Nsue mwenye mwenye matano.
MSIMAMO WA MAGOLI AFCON 2023
🇬🇶 Emilio Nsue —5
🇩🇿 Baghdad Bounedjah—3
🇸🇳 Lamine Camara—2
🇬🇠Mohammed Kudus—2
🇧🇫 Bertrand Traore—2
🇿🇦 Themba Zwane— 2
🇪🇬 Mostafa Mohamed—2
0 Comments