Ticker

7/recent/ticker-posts

MWANAMUZIKI TINA TURNER AFARIKI DUNIA

Mwanamuziki maarufu duniani Tina Turner amefariki akiwa na umri wa miaka 83.

Kwa mujibu wa BBC World  News Tina Turner ambaye alikuwa akijulikana kama malkia wa rock n roll amefariki  nyumbani kwao Uswis baada ya kuugua kwa muda mrefu.


Post a Comment

0 Comments