​
Mwanamuziki maarufu duniani Tina Turner amefariki akiwa na umri wa miaka 83.
Kwa mujibu wa BBC World News Tina Turner ambaye alikuwa akijulikana kama malkia wa rock n roll amefariki nyumbani kwao Uswis baada ya kuugua kwa muda mrefu.
​
Mwanamuziki maarufu duniani Tina Turner amefariki akiwa na umri wa miaka 83.
Kwa mujibu wa BBC World News Tina Turner ambaye alikuwa akijulikana kama malkia wa rock n roll amefariki nyumbani kwao Uswis baada ya kuugua kwa muda mrefu.
0 Comments