Ticker

7/recent/ticker-posts

RAIS DKT. MWINYI AJAZA NAFASI YA WAZIRI WA UTALII ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ally Mwinyi leo Januari 27,2024 amejaza nafasi ya Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale, iliyoachwa wazi juzi na aliyekuwa waziri wa wizara hiyo Simai Mohamed Said.

Post a Comment

0 Comments